blog

Fubara: We Understand The Art Of War

published on
A socio-cultural group, Ogoni Development Drive (ODD), has warned the council chairman of Ikwerre Local Government Area of the state, Samuel Nwanosike, to desist from denigrating the image of the state governor, Siminalayi Fubara. They urged the elders of Ikwerre ethnic nationality in Rivers State to prevail on Nwanosike and desist from attacking the governor. The group claimed that Nwanosike, a strong political ally of the minister of the Federal Capital Territory (FCT), Nyesom Wike, is known for constantly insulting Fubara. Read More...

Jamaa Arejea Nyumbani Baada ya Miaka 14, Akuta Familia Ilitumia KSh 40k kwa Mazishi Yake

published on
- Anthony Muhati alitoweka nyumbani kwao Kakamega miaka 14 iliyopita - Mnamo mwaka wa 2020, familia yake ilimzika mtu ambaye waliamini alikuwa Muhati baada ya kushindwa kumpata - Hata hivyo aliwasili nyumbani kwao kudhibitisha anaghali hai ambapo itabidi afanyiwe tambiko kabla ya kukaribishwa kikamilifu katika familia Zaidi ya wiki moja iliyopita, Anthony Muhati alipokea simu kutoka kwa mtu kutoka nyumbani kwao Kakamega ambaye alimfahamisha kuwa familia yake inaamini aliaga dunia. Read More...